top of page
Vidokezo vya Afya

Mtoto akiwa na homa
Mtoto akiwa na homa ya nyuzi joto za selsiasi 38 au zaidi kwa siku tatu mfululizo, isiyoshuka kwa dawa, au kupata dalili za hatari kama degedege, harara kwenye ngozi, kukakamaa shingo, maumivu ya kichwa, kuharisha, vidonda kooni, maumivu ya sikio, kukataa kula au kunywa, kuwa dhaifu au kutapika. Wasiliana na daktari mara moja.
bottom of page




