top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Imeboreshwa:

ULY CLINIC

Dkt Peter A, MD

2 Aprili 2026, 16:17:50

Matumizi ya vilevi kwa mama mjamzito| ULY CLINIC

Matumizi ya pombe na dawa ya kulevya kwa mjamzito ni hatari kwa afya ya mama na ya mtoto. Epuka pombe na dawa za kulevya wakati wa ujauzito.

Imeandikwa:

2 Aprili 2026, 16:17:50

ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.

​

Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.

bottom of page