top of page

Afya ya Mtoto

utapiamlo

Utapiamlo

Utapiamlo ni hali ya kupungua au kuzidi kwa virutubishi mwilini inayosababishwa na lishe duni au lishe iliyozidi mahitaji ya mwili. Utapiamlo unaotokea sana Afrika hutokana na lishe duni.

Udumavu

Udumavu

Udumavu ni udhaifu wa ukuaji wa mwili na maendeleo ya ukuaji wa mtoto unaotokea kwa mtoto kutokana na lishe duni, kuugua mara kwa mara na kukosa msisimuo wa kisaikolojia na kijamii.

Pozi la kunyonyesha mtoto

Kama umejifungua mtoto kwa mara ya kwanza inachukua siku 3 hadi nne ili maziwa yaanze kutoka, lakini kama umejifungua zaidi ya mara moja basi huweza kuchukua siku chache zaidi.

mtoto na chakula

Mtoto na chakula

Mbinu mbalimbali zinaweza tumiwa na wazazi ili kumfanya mtoto apende kula kama vile kuheshimu hamu yake ya kula, kumpa chakula kidogo na kumuhusisha kwenye uandalizi wa chakula.

Ukuaji wa mtoto mwezi 1 hadi 11

Mtoto wa mwezi 1 hadi 11

Mtoto mwenye miezi 11 anaweza kutamka neno moja hadi manane tofauti na “dada/mama”, pia anaweza kuiga, kuja aitwapo na kukubali kuvalishwa nguo

Ukuaji wa mtoto wa miaka 3 hadi 5

Mtoto wa miaka 3 hadi 5

Hujitegemea zaidi na huanza kufahamu zaidi kuhusu ndugu na watoto walio nje ya familia. Huwa na muda mwingi wa kuuliza maswali na kutaka fahamu zaidi kuhusu vitu vinavyo mzunguka.

bottom of page