top of page

Imeandikwa na madaktari wa uly clinic

​

Kuuma kwa chuchu huweza kuashiria dalili ya kuwa na maambukizi au sababu zingine zinazaosababisha chuchu kuuma

dalili za maambukizi zinaweza kuwa hizi zifuatazo

​

  • Ziwa kuuma endapo litashikwa

  • kujisikia kuumwa mwili

  • kuvimba kwa ziwa

  • maumivu ama kuhisi moto kama ziwa likishikwa

  • ngozi ya chuchu kuwa nyekundu haswa kwa watu weupe 

  • homa joto kupanda zaidi ya 38.3C

  • ​

Imechapishwa 3/12/2015

Imeboreshwa 5/11/2018

bottom of page