top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

ULY Clinic inakushauri kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Macho mekundu

Macho mekundu

Macho mekundu ni dalili inayojitokeza sana, mara nyingi chanzo chae ni maambukizi pamoja na mzio katika macho.

Tumbo kujaa gesi na kuvuruga

Tumbo kujaa gesi na kuvuruga

Dalili hii mara nyingi husababishwa na ulaji wa vyakula vya  aina fulani, hata hivyo kuna baadhi ya matatizo ya kiafya yanayoweza kusababisha tatizo hili.

Kukauka ngozi

Kukauka ngozi

Husababishwa mara nyingi na hewa ya moto au baridi, kuloweka ngozi kwenye maji ya moto na kukosekana kwa unyevu kwenye ngozi. Visababishi vinavyojulikana huweza kutubika nyumbani.

Nyama puani

Nyama puani

Hufahamika pia kama nazo polipsi, ni vinyama laini, visivyo na maumivu vyenye mwonekano wa zabibu zilizoning’inia kwenye kikonyo kilichojishikiza katika kuta zinazozalisha majimaji puani.

Kukojoa mara kwa mara

Kukojoa mara kwa mara

Kukojoa mara kwa mara ni hali ya kuhisi haja ya kwenda kukojoa zaidi ya kawaida yako, unaweza kuwa unakojoa kiwango kikubwa cha mkojo kuliko kawaida ama kiasi kidogo mara nyingi.

bottom of page