top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Uvimbe ndani ya tumbo

Uvimbe ndani ya tumbo

Uvimbe ndani ya tumbo unaweza kusababishwa na saratani au uvimbe usio saratani, mara nyingi hutambuliwa wakati wa wa uchunguzi wa tumbo.

Kuhama kwa koo

Kuhama kwa koo

Kuhama koo kwenye sehemu yake ya awali hutokana na shinikizo ndani ya kifua karibu na mrija wa trakea.

Bronkaitiz sugu

Bronkaitiz sugu

Ni aina ya COPD inayosababisha kikohozi chenye makohozi, miruzi wakati wa upumuaji, na kupumia kwa shida. Wagonjwa huonyesha ishara ya rangi ya bluu vidoleni, kifua cha pipa na uvimbe, hali inayojulikana kama 'uvimbe wa bluu'

Vidonda vya utumbo mpana

Vidonda vya utumbo mpana

Husababisha maumivu ya chini ya tumbo na kuhara mara kwa mara, mara nyingine na damu, usaha, au kamasi. Dalili zinaweza kujumuisha kichefuchefu, kupungua uzito, na homa ya vipindi.

Sindromu ya Reiter’s

Sindromu ya Reiter’s

Sindromu ya Reiter’s ni sindromu yenye staha inayowapata sana wanaume, huonekana na dalili za urethraitiz kali na hutokea wiki 1 hadi 2 baada ya kufanya ngono.

bottom of page