Mwandishi:
Mhariri:
Imeboreshwa:
ULY CLINIC
ULY CLINIC

6 Aprili 2026, 12:17:01
Sindromu ya Reiter’s
Sindromu ya Reiter’s ni sindromu yenye staha inayowapata sana wanaume, huonekana na dalili za urethraitiz kali na hutokea wiki 1 hadi 2 baada ya kufanya ngono.
Husababisha pia michomo kinga kwenye maungio ya mwili yasiyofanana (kanyagio, goti na mguu) konjaktivaitiz ya jicho moja au yote na vidonda kwenye ukuta wa ndani wa kinywa, kichwa cha uume, viganja na vidonda kwenye.
Majina mengine ya sindromu ya reiter's ni 'athraitizi ya mwitikio'
visababishi
Bakteria kadhaa wanaweza kusababisha sindromu ya reiter’s, baadhi yake huambukiwa kwa njia ya ngono na wengine kwa njia ya kula chakula ambao ni;
Chlamydia
Salmonella
Shigella
Yersinia
Campylobacter
Clostridium difficile
ULY CLINIC inakushauri siku zote uwasiliane na daktari wako kwa ushauri na tiba zaidi kabla ya kuchukua hatua yoyote ile ya kiafya baada ya kusoma makala hii.
Wasiliana na daktari wa ulyclinic kwa ushauri zaidi na tiba kwa kutumia namba za simu au kubonyeza link ya Pata Tiba chini ya tovuti hii
Imeandikwa:
2 Aprili 2026, 15:59:23
Soma dalili zingine Zaidi kwa kubonyeza herufi ya mwanzo hapa chini
[A] [B] [C] [D] [E] [F] [G] [H] [I] [J] [K] [L] [M] [N] [O] [P] [Q] [R] [S] [T] [U] [V] [W] [X] [Y] [Z] [Z] [#]
Rejea za mada
National Institute of Arthritis and Musculoskeletal and Skin Diseases. Reactive arthritis. http://www.niams.nih.gov/health_info/Reactive_Arthritis/default.asp. Imechukuliwa 20/09.2021
Yu DT. Reactive arthritis. http://www.uptodate.com/home. Imechukuliwa 20/09.2021
American College of Rheumatology. Reactive arthritis. http://www.rheumatology.org/I-Am-A/Patient-Caregiver/Diseases-Conditions/Reactive-Arthritis. Imechukuliwa 20/09.2021
Arthritis Foundation. What is reactive arthritis?. http://www.arthritis.org/about-arthritis/types/reactive-arthritis/. Imechukuliwa 20/09.2021
Apoorva Cheeti, et al.Reactive arthraits. https://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK499831/. Imechukuliwa 20/09.2021
Alebiosu, C O et al. “Reiter's syndrome--a case report and review of literature.” African health sciences vol. 4,2 (2004): 136-8.
