top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Dalili za Ujauzito wa Wiki moja

Dalili za Ujauzito wa Wiki moja

Mimba ni matokeo ya muunganiko kati ya mbegu ya kiume na yai la mwanamke, muunganiko huu huitwa urutubishaji (fetelaizesheni). Urutubishaji hutokea kwenye mirija ya via vya uzazi wa mwanamke sehemu iitwayo falopiani.

Dalili za Gono(kisonono)

Dalili za Gono(kisonono)

Gono(Kisonono) ni moja kati ya magonjwa ya zinaa amabayo huambaatana na kutokwa na usaha sehemu iliyo athirika na ugonjwa, ugonjwa huu huambukizwa kwa njia ya ngono isiyo salama kutoka kwa mgonjwa kwenda kwa asiyeumwa

Dalili za Taifodi

Dalili za Taifodi

Homa ya Matumbo (typhoid fever) ni ugonjwa wa kuambukiza, huamabatana na homa kali na joto linalopanda haraka kufikia nyuzi joto la mwili za sentigredi 40 digrii .Ugonjwa huu husababishwa na bacteria aitwaye Salmonella typhi ambae husambulia zaidi tishu za limfoidi na Bandama.

Dalili za UTI kwa watu wazima

Dalili za UTI kwa watu wazima

Dalili za UTI zinaweza kuanza kwa kuungua wakati wa kukojoa na kukojoa mara kwa mara, lakini zikipuuzwa zinaweza kusababisha maambukizi ya figo ambayo ni hatari zaidi. Kutambua mapema dalili za UTI kali kama homa, maumivu ya ubavuni mwa mgongo na kutapika ni muhimu ili kuzuia madhara makubwa na kulinda afya ya figo.

Dalili za homa ya Ini

Dalili za homa ya Ini

Homa ya ini ni ugonjwa unaosababishwa na virusi mbalimbali vinavyoshambulia chembe za ini na kusababisha kuvimba au kushindwa kufanya kazi vizuri. Dalili hutofautiana kati ya za muda mfupi na sugu, na matibabu hutegemea aina ya virusi vilivyosababisha maambukizi.

bottom of page