top of page

Dawa 02

Mhariri:

Dawa zinc

Huimarisha mfumo wa kinga ya mwili, hisia za kunusa na ladha ya chakula na pia huhusika kuponya vidonda kwenye utumbo, utengenezaji wa protini na DNA mwilini.

Mhariri:

Zaha 500mg

Zaha ni antibiotic inayotumika kutibu aina mbalimbali za maambukizi ya bakteria wanaodhuriwa na dawa hii kwenye mfumo wa upumuaji, sikio, pua, koo, mapafu, ngozi na macho kwa watu wazima na watoto.

bottom of page