top of page

Ugonjwa na dawa

Kurasa hii utajifunza kuhusu dawa na ugonjwa unaotibiwa na dawa hiyo. Wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia dawa yoyotee ile ili kuepuka madhara na usugu wa dawa mwilini mwako. Kumbuka siku zote kuwa dawa ni sumu kwenye mwili wako endapo haitatumika bila ushauri wa daktari

Dawa za kutibu Trichomoniasis

Dawa za kutibu Trichomoniasis

Ugonjwa huu husababisha na kimelea mwenye jina la Treponema vaginalis. Kwa sababu ni moja ya wa zinaa, matibabu yake huhusisha dawa za kutibu magonjwa ya zinaa, hata hivyo endapo maambukizi ya Treponema vaginalis yametambulika kwa vipimo.

Dawa ya kutibu maambukizi ya chlamydia

Dawa ya kutibu maambukizi ya chlamydia

Dawa za kutibu maambukizi ya Klamidia hutumika kama mchanganyiko wa dawa zaidi ya moja. Ili kufahamu mchanganyiko unaokufaa ni vema ukawasiliana na daktari wako. Kumbuka pia kwa sababu klamidia ni ugonjwa wa zinaa, zinapaswa kutumia na mtu na mpenzi wake anayeshiriki naye ngono. Endapo una wapenzi wengi, wote wanabidi kutumia dawa hizo au kuacha kushiriki nao ngono kwa sababu ya kuepuka maambukizi mapya.

Dawa ya uchafu ukeni kutokana na fangasi

Dawa ya uchafu ukeni kutokana na fangasi

Dawa za kutibu maambukizi ya fangasi ambao husababisha kutokwa na uchafu mweupe ukeni usio na harufu ambao huambatana na muwasho zimeorodheshwa kwa kina kwenye makala hii kama dawa za kunywa na dawa za kupaka.

Dawa ya uchafu unaotoka ukeni

Dawa ya uchafu unaotoka ukeni

Uchafu ukeni mara nyingi husababishwa na maambukizi ya fangasi au magonjwa ya zinaa. Kutambua nini kinasababisha uchafu ukeni ni lazima kufahamu dalili zinazoambatana na kutokwa na uchafu ukeni ikiwa pamoja na rangi ya uchafu.

Dawa ya kuvimbiwa

Dawa ya kuvimbiwa

Kuvimbiwa ni hali inayotokea endpo chakula kilicholiwa hakijameng’enywa vema tumboni. Kuna visababishi vingi vya tatizo la kuvimbiwa, kusoma zaidi kuhusu tatizo dalili na vipimo vyake nenda kwenye Makala ya ‘Kuvimbiwa’ sehemu ya dalili za ugonjwa ULY CLINIC.

bottom of page