top of page

Ugonjwa na dawa

Kurasa hii utajifunza kuhusu dawa na ugonjwa unaotibiwa na dawa hiyo. Wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia dawa yoyotee ile ili kuepuka madhara na usugu wa dawa mwilini mwako. Kumbuka siku zote kuwa dawa ni sumu kwenye mwili wako endapo haitatumika bila ushauri wa daktari

Dawa ya minyoo

Dawa ya minyoo

Dawa zinazotumika kutibu minyoo hufanya kazi yake kwa kuzuia minyoo kupata chakula au kuwafanya wapooze na hivyo kufa. Dawa nyingi haziwezi kuua mayai ya minyoo yaliyopo mwilini.

Dawa za  kolestro

Dawa za kolestro

Dawa za kolestro katika makala hii imetumika kumaanisha dawa za kupunguza kiwango cha kolestro (lehemu) kwenye damu na hufahamika kwa jina jingine kama dawa jamii ya statin au dawa za kushusha lehemu wkenye damu.

Dawa ya kutibu Vajinosis ya bakteria

Dawa ya kutibu Vajinosis ya bakteria

Vaginosis ya bakteria ni ugonjwa wa vajinosis ya bakteria ni hali inayoletwa na ongezeko kubwa la bakteria waishio ndani ya uke hivyo kuwazidi bakteria walinzi ambao pia huishi ndani ya uke

Dawa za kutumia baada ya kupata kiharusi

Dawa za kutumia baada ya kupata kiharusi

Kiharusi huchangiwa kwa asilimia zaidi ya 80 na kuzibwa kwa mishipa ya damu inayolisha sehemu fulani ya ubongo.

Dawa za kuchelewesha hedhi

Dawa za kuchelewesha hedhi

Dawa za kuchelewesha hedhi au mens ni dawa zinazozuia hedhi kutokea.

bottom of page