Mwandishi:
Mhariri:
Dkt. Peter R, CO
Dkt. Mangwella S, MD
Jumatatu, 21 Machi 2022
Bilinganya
Bilinganya ni zao linalopatikana kwenye familia ya Solanaceae, ambapo hutumika kama mboga baada ya kupikwa ili kuliwa kama chakula.
Viinilishe vinavyopatikana kwenye Bilinganya
Mafuta
Madini
Sukari
Nyuzilishe
Protini
Vitamini
Kabohaidreti
Maji
Kemikali muhimu inayopatikana kwenye Bilinganya
Kemikali muhimu inayopatikana kwenye Bilinganya ni Acetylcholine.
Viinilishe vinavyopatikana kwenye Biliganya yenye gramu 100
Nishati = 25kcal
Mafuta = 0.2g
Maji = 92.3g
Kabohaidreti = 5.9g
Sukari = 3.5g
Nyuzilishe = 3g
Protini = 1g
Vitamini zinazopatikana kwenye Bilinganya yenye gramu 100
Vitamini A = 1mcg
Vitamini B1 = 0.039mg
Vitamini B2 = 0.037mg
Vitamini B3 = 0.649mg
Viatmini B5 = 0.281mg
Viatmini B6 = 0.084mg
Vitamini B9 = 22mcg
Vitamini C =2.2mg
Vitamini E =0.3mg
Vitamini K = 3.5mg
Madini yanayopatikana kwenye Bilinganya yenye gramu 100
Kalishiamu = 9mg
Kopa = 0.8mg
Madini Chuma = 0.23mg
Magineziamu = 14mg
Manganaizi = 0.232mg
Fosifolasi = 24mg
Potashiamu = 229mg
Sodiamu = 2mg
Zinki = 0.16mg
Faida za kiafya zitokanazo na ulaji wa Bilinganya
Kulinda na kuimarisha seli hai nyeupe mwilini.
Kupunguza uzito mwilini
Kupunguza athari za kupatwa na magonjwa ya moyo Pamoja na ugonjwa wa shinikizo la juu la Damu.
Kuweka msawazo wa suakri mwilini na kupunguza athari za kupatwa na ugonjwa wa kisukari
Kuuikinga mwili dhidi ya kansa za aina mbalimabali
Imeboreshwa,
21 Machi 2022, 11:44:20
Bofya hapa kusoma zaidi kuhusu namna ya kuandaa vyakula mbalimbali vinavyoweza kukukinga dhidi ya magonjwa ya shinikizo la damu la juu na Kisukari, pia kuupa mwili wako uwezo wa kudhibiti magonjwa ya kisukari na shinikizo la juu la damu(presha).
ULY CLINIC inakushauri siku zote uwasiliane na daktari wako kwa ushauri na tiba zaidi kabla ya kuchukua hatua yoyote ile ya kiafya baada ya kusoma makala hii.
Wasiliana na daktari wa ulyclinic kwa ushauri zaidi na tiba kwa kutumia namba za simu au kubonyeza link ya Pata Tiba chini ya tovuti hii
Rejea za mada hii