Uboreshaji wa ujuzi- Tabibu
Nyumbani
Mgonjwa
Daktari
Elimu Afya
Pata tiba
Ujauzito
Mlo Afya
Mafunzo
Dawa A-Z
Blogi
Dalili & Viashiria A-Z
Magonjwa A-Z
Virutubisho A-Z
Mengineyo
Weigh gain ni nini kwa kiswahili?
Weight los ni nini kwa kiswahili?
Wet gangrene ni nini kwa kiswahili??
Window Period ni neno la kitiba linalofahamika kiswahili kama "Dirisha la matazamio"Dirisha la Matazamio ni kipindi kati ya mtu kuambukizwa Virusi vya Ukimwi (VVU) na wakati ambapo vipimo vinaweza kubaini kwa uhakika uwepo wa maambukizi hayo.
a.c katika tiba na cheti cha dawa ni kifupi cha neno la Kilatini "ante cibum", lenye maana ya kabla ya kula. Neno a.c linapotumia kwenye cheti cha dawa humaanisha dawa hiyo itumike ‘kabla ya kula chakula’