Uboreshaji wa ujuzi- Tabibu
Nyumbani
Mgonjwa
Daktari
Elimu Afya
Pata tiba
Ujauzito
Mlo Afya
Mafunzo
Dawa A-Z
Blogi
Dalili & Viashiria A-Z
Magonjwa A-Z
Virutubisho A-Z
Mengineyo
Tab ni kifupi cha neno tablet chenye maana ya kidonge
tsp katika tiba na dawa ni kifupisho cha neno 'teaspoon' lenye maana ya kijiko cha chai. Kama kifupisho hiki kitatumika kwenye cheti cha dawa au matibabu ya mgonjwa humaanisha mgonjwa ‘atumie kipimo cha kijiko cha chai’.
ung katika tiba ni kifupisho cha neno la Kilatini ‘unguentum’ linalomaanisha dawa ya mafuta.