top of page
Magonjwa na saratani mbalimbali
Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

U.T.I kwa wanawake na wanaume: Sababu, Dalili, Matibabu na Kinga
Maumbile ya wanawake huruhusu vimelewa wanaosababisha U.T.I kuingia kirahisi katika mfumo wa mkojo na hii ndio maana hupata tatito hili mara kwa mara. Kunywa maji mengi, kukojoa mara baada ya tendo la ndoa na kujisafisha kisahihi hupunguza vipindi vya kuugua U.T.I.
bottom of page



