top of page
Magonjwa na saratani mbalimbali
Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Maambukizi ya Helicobacter pylori
Helicobacter pylori (H. pylori) ni maambukizi ya bakteria katika mfumo wa tumbo, kwa kawaida maambukizi hutokea wakati wa utotoni. Bakteria huyu huwa na tabia ya kusababisha sana vidonda vya tumbo, na takribani nusu ya watu duniani wana maambukizi haya licha ya kutoonyesha dalili yoyote au kuumwa.
bottom of page



