top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Vipele vya Fordyce spots kwenye uume

Vipele vya Fordyce spots kwenye uume

Fordyce spots ni vipele vidogo vyenye rangi ya njano au nyeupe vinavyotokea kwenye kichwa au mpini wa uume, baadhi ya vipele hutokea kwenye maeneo kati ya mstari wa mpini na uume.

Pearly penile papule

Pearly penile papule

Makala hii imezungumzia kuhusu tatizo la vipele kwenye uume linaloitwa kwa jina tiba ‘Pearly penile papules’(PPP) . Pearly penile papules ni vepele ambavyo hutokea kwa watu wengi na huchukuliwa kama vipele vya kawaida wala si saratani na havina mahusiano na magonjwa ya zinaa

Vipele vikubwa nyuma ya shingo: Sababu, Matibabu na kinga ya AKN

Vipele vikubwa nyuma ya shingo: Sababu, Matibabu na kinga ya AKN

Makala hii imezungumzia tatizo la chunusi mithiri ya vipele au makovu nyuma ya shingo na kisogoni, linalofahamika na watu wengi kama makovu nyuma ya shingo na kitiba kama.

Maambukizi ya Helicobacter pylori

Maambukizi ya Helicobacter pylori

Helicobacter pylori (H. pylori) ni maambukizi ya bakteria katika mfumo wa tumbo, kwa kawaida maambukizi hutokea wakati wa utotoni. Bakteria huyu huwa na tabia ya kusababisha sana vidonda vya tumbo, na takribani nusu ya watu duniani wana maambukizi haya licha ya kutoonyesha dalili yoyote au kuumwa.

bottom of page