top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Kipindupindu

Kipindupindu

Ni ugonjwa hatari unaosababisha kuharisha maji mengi ghafla na kupoteza maji mwilini kwa kasi, hali inayoweza kupelekea mshtuko wa mwili au kifo bila matibabu ya haraka. Tiba ya dharura kama ORS au dripu pamoja na kinga kupitia usafi wa maji, chakula na mikono ni muhimu kuokoa maisha na kuzuia maambukizi.

Ngozi ya pumbu kubanduka: Sababu, dalili na tiba

Ngozi ya pumbu kubanduka: Sababu, dalili na tiba

Kubanduka kwa ngozi ya pumbu ni hali inayoweza kusababishwa na msuguano, mzio au maambukizi ya ngozi kama fangasi. Kutafuta tiba mapema na kudumisha usafi ni muhimu kuzuia madhara makubwa zaidi.

Njano kwa kichanga

Njano kwa kichanga

Manjano kwa mtoto mchanga si kila mara ni tatizo, lakini ikionekana mapema na kufuatiliwa vizuri, huweza kudhibitiwa bila madhara. Ushirikiano kati ya mama na mtaalamu wa afya ni muhimu kwa usalama wa mtoto.

Mimba ya zabibu

Mimba ya zabibu

Mimba ya zabibu ni hali isiyo ya kawaida ya ujauzito ambapo seli hukua kama zabibu badala ya mtoto. Hali hii inahitaji matibabu ya haraka na ufuatiliaji wa karibu ili kuepuka madhara zaidi kwa afya ya mama.

bottom of page