Mwandishi:
ULY CLINIC
Mhariri:
Benjamin L, MD
10 Machi 2025, 15:09:47

G spoti ni nini?
G-spot, au eneo la Grafenberg, ni sehemu ndani ya uke wa mwanamke inayodhaniwa kuwa na msisimko mkubwa wa kingono. Imepewa jina kutoka kwa daktari wa kijerumani Ernst Grafenberg, ambaye alielezea uwepo wa eneo hili katika miaka ya 1950.
Baadhi ya watafiti na madaktari wanaamini kuwa ni sehemu yenye msisimko mkubwa wa kingono, lakini bado kuna mjadala kuhusu uwepo utendaji kazi wake.
Wapi utapata maelezo zaidi kuhusu G spoti?
Unaweza kupata maelezo zaidi kuhusu G spoti katika makala zifuatazo;
Namna ya kusisimua G spoti
ULY CLINIC inakushauri uwasiliane na daktari wako kwa ushauri na tiba kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma majibu haya.
Kupata ushauri zaidi au tiba kutoka kwa daktari wa ULY CLINIC bofya hapa au tumia linki ya Pata tiba
Imeboreshwa,
10 Machi 2025, 15:09:47
Rejea za mada hii
Ostrzenski A. G-Spot Anatomy and its Clinical Significance: A Systematic Review. Clin Anat. 2019 Nov;32(8):1094-1101. doi: 10.1002/ca.23457. Epub 2019 Sep 8. PMID: 31464000.
Pan S, Leung C, Shah J, Kilchevsky A. Clinical anatomy of the G-spot. Clin Anat. 2015 Apr;28(3):363-7. doi: 10.1002/ca.22523. Epub 2015 Mar 4. PMID: 25740385.
Vieira-Baptista P, Lima-Silva J, Preti M, Xavier J, Vendeira P, Stockdale CK. G-spot: Fact or Fiction?: A Systematic Review. Sex Med. 2021 Oct;9(5):100435. doi: 10.1016/j.esxm.2021.100435. Epub 2021 Sep 9. PMID: 34509752; PMCID: PMC8498956.