top of page
Vidokezo vya Afya

Umri mzuri wa kushika mimba
Mwanamke anapozaliwa huwa na mayai takribani milioni 2 yanayopungua kadri umri unavyoongezeka. Mayai elfu 25 husalia kwenye umri wa miaka 37 na elfu 1 kwenye umri wa miaka 51. Ili kushika ujauzito wenye matokeo mazuri kwako na mtoto, shika baada ya miaka 20 na kabla ya miaka 35.
bottom of page




