top of page
Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali
Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Kutokwa na damu ukeni kwenye komahedhi
Kutokwa na damu baada ya komahedhi si jambo la kawaida na kunaweza kuwa ishara ya matatizo mbalimbali kuanzia ukavu wa uke hadi saratani ya mfuko wa uzazi. Mwanamke yeyote anayepata damu baada ya kuacha hedhi kwa miezi 12 mfululizo anapaswa kufanyiwa uchunguzi wa daktari mapema.
bottom of page


