top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Nimonia

Nimonia

Nimonia inayosababishwa na bakteria husababisha matumizi makubwa ya misuli ya ziada kwa kupumua. Kawaida, maambukizi haya huanza ghafla na homa kali pamoja na baridi kali.

Kutokwa na malengelenge mwilini

Kutokwa na malengelenge mwilini

Kutokwa na malenge mwilini ni neno linalomaanisha kutokwa na upele kwenye ngozi ambao ukipasuka au kupasuliwa hutoa majimaji.

Kutapika

Kutapika

Ni kitendo cha kutoa nje chakula au maji maji yaliyo jikusanya tumboni kupitia mdomo au wakati mwingine kupitia pua.

Kuongezeka uzito kwa kasi

Kuongezeka uzito kwa kasi

Kuongezeka kwa uzito kwa kasi kunaweza sababishwa na kuongezeka kwa misuli, maji au mafuta mwilini.

Smallpox

Smallpox

Dalili zake ni homa kali, uchovu, maumivu ya kichwa, na vipele vinavyogeuka kuwa vidonda vya usaha kabla ya kuacha makovu.

bottom of page