top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Dalili za saratani ya damu

Dalili za saratani ya damu

Leukemia ni saratani ya damu inayoshambulia tishu zinazohusika kutengeneza damu ikiwa pamoja na urojo wa mifupa na mfumo wa limfatiki.

Dalili za upungufu wa damu

Dalili za upungufu wa damu

Upungufu wa damu mwilini kwa jina la kitiba Anemia humaanisha upungufu wa seli nyekundu za damu zinazoitwa hemoglobin. Kiwango cha kawaida cha chembe za damu za haemoglobin kweney mwili wa binadamu ni kati ya gramu 12 mpaka 14 kwa Kila mililita ya damu, kiwango pungufu ya Hapo mtu mtu husemekana kuwa ana tatizo la upungufu wa damu.

Dalili za nimonia

Dalili za nimonia

Nimonia (nyumonia) ni ugonjwa wa mapafu unaoshambulia mapafu na kupelekea kuvimba, wakati mwingine kusinyaa. Nimonia huathiri sana vifuko vya hewa viitwavyo alveoli, vifuko vya hewa vya aliveoli huweza kujaa maji na kusababisha shida katika upumuaji.

Dalili za tezi dume

Dalili za tezi dume

Tezi dume kwa lugha ya tiba "Prosteti" ni tezi iliyo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume, chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi hii hupitiwa katikati na mrija wa urethra unaotokea kwenye kibofu cha mkojo kwenda kwenye tundu la uume. Mrija huu kazi yake ni kutoa mkojo kwenye kibofu cha mkojo.

Dalili za Saratani ya mapafu

Dalili za Saratani ya mapafu

Saratani ya mapafu Ni ugonjwa unaohusishwa na ukuaji wa seli bila mpangilio katika tishu za mapafu. Seli hizi za saratani zinaweza kuenea kwa njia inayoitwa metastaisi kwenda kwenye tishu zilizokaribu na seli hizi za saratani au mbali Zaidi na seli hizo

bottom of page