Uboreshaji wa ujuzi- Tabibu
Nyumbani
Mgonjwa
Daktari
Elimu Afya
Pata tiba
Ujauzito
Mlo Afya
Mafunzo
Dawa A-Z
Blogi
Dalili & Viashiria A-Z
Magonjwa A-Z
Virutubisho A-Z
Mengineyo
Tamarindus Indica ukifahamika kama mkwaju ni mmea unaopatikana sehemu nyingi duniani. Hutumika kama dawa asili ya kutibu haja ngumu, vidonda na harara kwenye ngozi, vidonda vya tumbo, baridi yabisi, pumu, kukosa hedhi n.k.
Vitex agnus-castus ni mmea poli unaotumika kama tiba asili ya maumivu ya titi na kuondoa dalili tangulizi za hedhi.