top of page

Dawa asilia na matumizi

Tamarindus Indica dawa asili ya pumu, haja ngumu n.k

Tamarindus indica

Tamarindus Indica ukifahamika kama mkwaju ni mmea unaopatikana sehemu nyingi duniani. Hutumika kama dawa asili ya kutibu haja ngumu, vidonda na harara kwenye ngozi, vidonda vya tumbo, baridi yabisi, pumu, kukosa hedhi n.k.

Vitex agnus-castus ni tiba asili ya kuondoa dalili tangulizi za hedhi

Vitex agnus-castus

Vitex agnus-castus ni mmea poli unaotumika kama tiba asili ya maumivu ya titi na kuondoa dalili tangulizi za hedhi.

bottom of page