top of page

Ugonjwa na dawa

Kurasa hii utajifunza kuhusu dawa na ugonjwa unaotibiwa na dawa hiyo. Wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia dawa yoyotee ile ili kuepuka madhara na usugu wa dawa mwilini mwako. Kumbuka siku zote kuwa dawa ni sumu kwenye mwili wako endapo haitatumika bila ushauri wa daktari

Dawa za kukausha vidonda ukeni

Dawa za kukausha vidonda ukeni

Dawa za kukausha vidonda ukeni zipo katika makundi mbali mbali kulingana na kisababishi

Dawa za kukausha vidonda kwenye uume

Dawa za kukausha vidonda kwenye uume

Kuna makundi mengi ya dawa za kukausha vidonda kwenye uume kulingana na kisababishi. Makundi hayo ni dawa za kukausha vidonda vya bakteria, virusi na fangasi.

Dawa ya vibarango kwa watoto

Dawa ya vibarango kwa watoto

Dawa za kutibu vibarango kwa watoto ni dawa za fangasi ambazo hutolewa kwa kuzingatia uzito.

Dawa za fangasi usoni

Dawa za fangasi usoni

Fangasi wa usoni kwa wanawake na watoto hutokea sana kwenye mdomo wa juu. Kwa mwanaume maambukizi yakitokea kwenye maeneo ya ndevu huitwa Tinea Barbae, matibabu huhusisha matumizi ya viuaji fangasi.

Dawa za kutibu haja ngumu

Dawa za kutibu haja ngumu

Konstipesheni hutibiwa kwa dawa za kuongeza nyuzinyuzi kwenye mlo na kulainisha haja ngumu ambayo tayari ipo kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

bottom of page