top of page
Ugonjwa na dawa
Kurasa hii utajifunza kuhusu dawa na ugonjwa unaotibiwa na dawa hiyo. Wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia dawa yoyotee ile ili kuepuka madhara na usugu wa dawa mwilini mwako. Kumbuka siku zote kuwa dawa ni sumu kwenye mwili wako endapo haitatumika bila ushauri wa daktari

Dawa ya kupata usingizi haraka
Dawa za kupata usingizi haraka ni pamoja na melatonin, antihistamines, na dawa maalumu za usingizi kama benzodiazepines, zinazotumika chini ya usimamizi wa daktari. Matumizi yake hulenga kupunguza msongo wa mawazo, kutuliza mwili, na kurejesha mdundo wa usingizi, huku ikisisitizwa usalama na kuepuka utegemezi.
bottom of page



