top of page

Elimu ya magonjwa kwa mjamzito

Sehemu hii utajifunza maelezo ya ziada kuhusu matatizo mbalimbali ya kiafya wakati wa ujauzito. Unashauriwa siku zote kuwasilaina na daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile iliyoandikwa humu ili kupata ushauri unaoendana na hali yako ya kiafya.

Mazoezi wakati wa ujauzito

Mazoezi wakati wa ujauzito

Mazoezi kipindi cha ujauzito hushauriwa sana na wakunga yafanyike wakati wote haswa kipindi cha ujauzito, leba na kijifungua.

Mambo yanayo kwamisha mazoezi

Mambo yanayo kwamisha mazoezi

Wakati wa pilika za leba na kujifungua, unategemewa kuwa mtulivu, kupumua kawaida, kujishughulisha na kufuata maelekezo unayopewa, hata hivyo utaambiwa kukaa pozi tofauti tofauti. Hii ni muhimu sana wakati huu kwa afya yako na mtoto tumboni.

Maadalizi ya mazoezi ya kutuliza mwili

Maadalizi ya mazoezi ya kutuliza mwili

Kaa kwenye pozi la uhuru, lala au kaa kwenye mkeka, jifunike kama ni lazima na hakikisha una mito miwili hadi minne itakayotuma.

Kumwongoza mtoto kwenye pozi sahihi ili ujifungue kirahisi

Kumwongoza mtoto kwenye pozi sahihi ili ujifungue kirahisi

Maelezo yaliyoandikwa hapa yatakusaidia kumwongoza mtoto wako aliye tumboni kwenye njia ya uzazi ili uweze kujifungua kirahisi kabla ya uchungu kuanza.

Namna ya kufanya Mazoezi hatua kwa hatua- sehemu ya 1

Namna ya kufanya Mazoezi hatua kwa hatua- sehemu ya 1

Mazoezi yanafahamika kutuliza mwili, mwongozo ufuatao utakusaidia kwenye mazoezi yako.

bottom of page