Kurasa hii imeorodhesha homon mbalimbali zinazopatikana kwenye mwili wa binadamu
Progesterone
Ni homoni jamii ya steroidi inayotolewa na tezi ya Kopazi luteamu, Kopazi luteamu ni tezi muhimu ya mpito inayotengenezwa kwenye ovari ili kutoa homoni ya progesterone katika kipindi cha ovulesheni na mwanzoni mwa ujauzito.
Ni homoni inayozalishwa na tezi ya kongosha, katika seli zinazoitwa alpha. Hufanya kazi pamoja na homoni zingine mwilini ili kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu.
Ni homoni ya androjeni inayosimamia uzalishaji wa shahawa, uimara na ujazo wa misuli na mifupa, uchakatuaji wa Mafuta na uzalishaji wa chembe nyekundu za damu. Testosterone ina wajibu wa kumpa mwanaume sifa zake za kijinsia.