Mlo tiba
Nyumbani
Dawa A-Z
Dalili A-Z
Magonjwa A-Z
Virutubisho A-Z
Matibabu
Elimu
Mlo wa tiba
Majibu ya maswali
Ujauzito
Blogi
Foram
ULY CLINIC Limited
Mengineyo
Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali
UTI ni ugonjwa unaosumbua sana wanawake ba husababishwa na kuingia kwa bakiteria wa ukeni kwenye mrija unaotoa mkojo nje ya mwili.
Husababishwa na magonjwa mbalimbali ya ini kama maambukizi ya kirusi cha homa ya ini B na C au unywaji wa pombe wa kupindukia n.k.
Hutokea sana kwa wanawake waliowahi kuathiriwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama gono na pangusa, usipotibiwa kwa wakati husababisha ugumba kwa mwanamke 1 kati ya wanawake 8.
Hutokea endapo vilivyomo tumboni vinatoka nje ya tumbo kupitia umio kutokana na udhaifu wa koki ya chini ya umio.