top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Maambukizi kwenye mfumo wa mkojo

Maambukizi kwenye mfumo wa mkojo

UTI ni ugonjwa unaosumbua sana wanawake ba husababishwa na kuingia kwa bakiteria wa ukeni kwenye mrija unaotoa mkojo nje ya mwili.

Kusinyaa ini

Kusinyaa ini

Husababishwa na magonjwa mbalimbali ya ini kama maambukizi ya kirusi cha homa ya ini B na C au unywaji wa pombe wa kupindukia n.k.

Ugonjwa wa PID

Ugonjwa wa PID

Hutokea sana kwa wanawake waliowahi kuathiriwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama gono na pangusa, usipotibiwa kwa wakati husababisha ugumba kwa mwanamke 1 kati ya wanawake 8.

Kucheua tindikali

Kucheua tindikali

Hutokea endapo vilivyomo tumboni vinatoka nje ya tumbo kupitia umio kutokana na udhaifu wa koki ya chini ya umio.

bottom of page