top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Ulimi kuwaka moto

Ulimi kuwaka moto

Ulimi kuwaka moto ni tatizo la ulimu kuwa na hisia za kuungua na wakati mwingine maumivu huwa makali kama vile umeungua na maji ya moto.

Vidonda kwenye ulimi

Vidonda kwenye ulimi

Vidonda kwenye ulimi huweza kuonekana Kama vijishimo vidogo vyenye rangi nyeupe au njano kwenye ulimi au kwenye fizi chini kidogo ya meno.

Ulimi kubadilika rangi

Ulimi kubadilika rangi

Kubadilika rangi ya ulimi kunaweza kusababishwa na kula chakula chenye rangi, maambukizi au upungufu wa vitamin aina fulani mwilini. Kila aina ya rangi inaweza kumaanisha tatizo aina fulani.

Maumivu ya ulimi

Maumivu ya ulimi

Maumivu ya ulimi yanaweza kusababishwa na hali au matatizo mbalimbali, maumivu yanaweza kuwa ya aina tofauti mfano kuhisi ulimi unawaka moto au kuchoma choma unapokuwa unakula au kunywa n.k.

bottom of page