top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Fangasi ukeni kwenye ujauzito

Fangasi ukeni kwenye ujauzito

Maambukizi ya fangasi ukeni ni husababisha kutokwa na uchafu usio wa kawaida wakati wa ujauzito. Tatizo hili huwapata wanawake wengi haswa kwenye kipindi cha pili cha ujauzito yani wiki ya 13 hadi 27 ya ujauzito.

Fangasi kwenye kinena

Fangasi kwenye kinena

Maambukizi ya fangasi kwenye kinena hufahamika kwa jina jingine la tinea kruriz ni ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kupita kiasi kwa fangsi waishio kwenye ngozi wenye jina Trichophyton rubrum, Epidermophyton floccosum na T. mentagrophytes.

Sindromu ya antifosfolipid

Sindromu ya antifosfolipid

Sindromu ya antifosfolipid hutokana na mfumo wa kinga ya mwili kujishambulia wenyewe kwa bahati mbaya. Wanawake wengi wenye sindromu hii hupoteza ujauzito kwa kujirudia bila sababu maalumu.

Homa ya uti wa mgongo

Homa ya uti wa mgongo

Watu waishio katika ukanda wa homa ya uti wa mgongo Afrika hupata mlipuko wa homa hiyo kutokana na kuambukizwa kwa njia ya hewa bakteria Neisseria meningitidis. Baadhi ya dalili zake ni homa ya ghafla, maumivu makali ya kichwa, kukakamaa kwa shingo, kichefuchu na kutapika. Ili kutopoteza maisha, fika kituo cha afya karibu nawe kwa tiba ya haraka.

bottom of page