top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Kuvunjika fupakola

Kuvunjika fupakola

Kuvunjika kwa fupakola ni aina ya jeraha linalotokea sana kwa watoto na vijana wadogo. Fupakola ni mfupa unaounga mkono kwenye sehemu ya juu ya fupatiti.

Amibiasis kwa watoto

Amibiasis kwa watoto

Mara nyingi kimelea cha amiba anaweza kuingia kwenye mfumo wa umeng’enyaji chakula na kuishi bila kusababisha dalili yoyote ile.

Polisaithemia

Polisaithemia

Kuwa na damu nyingi hufahamika kwa jina jingine la polisaithimia (polycythemia) ni tatizo linalotokea endapo kiwango cha himoglobin ni kingi kuliko kawaida ya umri au jinsia ya mtu.

Magonjwa ya zinaa

Magonjwa ya zinaa

Ugonjwa wa zinaa au magonjwa ya zinaa ni magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiana, inaweza kuhusisha kujamiana kwa kuingiza uume au uke mdomoni, ukeni na uume kwenye tundu la haja kubwa.

bottom of page