top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Saratani

Saratani

Kufahamu saratani ni nini ni vema kwanza kufahamu kuwa mwili wa binadamu umetengenezwa kwa chembe hai zenye uwezo wa kuzaliana, kukua na kufa mara zinapozeeka au zinapopoteza uwezo wake wa kufanya kazi.

Amibiasis

Amibiasis

Amibiasis ni ugonjwa wa tumbo unaosababishwa na protozoa asiyeonekana kwa macho mwenye jina la Entamoeba histolytica, au kifupi E. histolytica.

Fangasi kwenye pumbu

Fangasi kwenye pumbu

Maambukizi ya fangasi kwenye kinena hufahamika kwa jina jingine la tinea kruriz ni ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kupita kiasi kwa fangsi waishio kwenye ngozi wenye jina Trichophyton rubrum, Epidermophyton floccosum na T. mentagrophytes.

Fangasi ukeni kwenye ujauzito

Fangasi ukeni kwenye ujauzito

Maambukizi ya fangasi ukeni ni husababisha kutokwa na uchafu usio wa kawaida wakati wa ujauzito.

bottom of page