top of page
Magonjwa na saratani mbalimbali
Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Malaria
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na protozoa mwenye jina la plasmodium, katika kundi la plasmodium kuna spishi wa aina kadhaa kama vile Plasmodium falciparum, P vivax, P malariae, na P ovale. Kati ya spishi wote, plasmodium falciparum huwa ni hatari sana. Malaria kwa jina jingine hufahamika kama homa ya m’mbu.
bottom of page



