top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Vajinosis ya bakteria (VB)

Vajinosis ya bakteria (VB)

Ugonjwa wa vajinosis ya bakteria ni hali inayoletwwa na ongezeko kubwa la bakteria waishio ndani ya uke hivyo kuwazidi bakteria walinzi ambao pia huishi ndani ya uke.

Thalasimia

Thalasimia

Thalasimia (thalassemia) ni ugonjwa wa damu wa kurithi unaosababisha uzalishaji wa kiwango kidogo kuliko kawaida cha himoglobin.

Saratani ya ependimoma

Saratani ya ependimoma

Ependimoma ni aina ya saratani inayoweza kutokea kwenye seli za ependimo zinazopatikana ndani ya mfumo wa kati wa fahamu yaani ubongo au uti wa mgongo.

Malaria

Malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na protozoa mwenye jina la plasmodium, katika kundi la plasmodium kuna spishi wa aina kadhaa kama vile Plasmodium falciparum, P vivax, P malariae, na P ovale. Kati ya spishi wote, plasmodium falciparum huwa ni hatari sana. Malaria kwa jina jingine hufahamika kama homa ya m’mbu.

bottom of page