top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Usonji

Usonji

Ni udhaifu tata wa ukuaji yanayohusisha mawasiliano ya kijamii, ufinyu wa vipendeleo na tabia za kujirudia. Tatizo hili huwa la kudumu na dalili zake hutofautiana baina ya mtu na mtu na kutegemea ukubwa wa tatizo.

Maumivu ya tumbo

Maumivu ya tumbo

Mauimivu haya yanaweza kusababishwa na kasoro mblimbali, kasoro kama gesi kujaa tumboni, ama mijongeo ya misuli ya tumbo huwa hazina madhara sana, kasoro mbali na hivzo huhitaji matibabu ya haraka.

Ugonjwa Leptospirosis

Ugonjwa Leptospirosis

Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria mwenye jina la leptospira ambaye huenezwa kwa njia ya mkojo wa wanyama. Ugonjwa huweza kutokuwa au kuwa na dalili, baadhi yake ni homa kali, maumvu ya misuli n.k

Homa ya mgunda

Homa ya mgunda

Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wanaoenezwa kwa njia ya mkojo wa wanyama. Baadhi ya dalili zake ni homa kali, kutetemeka mwili, macho mekundu na maumivu ya misuli.

bottom of page