top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Ugonjwa wa Rubella kwa Watoto: Dalili, Vipimo na Matibabu

Ugonjwa wa Rubella kwa Watoto: Dalili, Vipimo na Matibabu

Rubella ni maambukizi ya kirusi yanayoonekana kuwa na dalili nyepesi kwa watoto waliozaliwa, lakini huwa na hatari kubwa sana kwa mtoto aliye tumboni endapo mama ataambukizwa wakati wa ujauzito. Chanjo na uchunguzi wa mapema ndiyo njia bora zaidi ya kuzuia madhara makubwa na kulinda afya ya mtoto na jamii kwa ujumla.

Kichaa cha mbwa: Sababu, Dalili, Vipimo na Matibabu

Kichaa cha mbwa: Sababu, Dalili, Vipimo na Matibabu

Kichaa cha mbwa ni ugonjwa hatari wa virusi unaoathiri mfumo wa neva na karibu kila mara husababisha kifo dalili zikishaanza. Kinga ya mapema baada ya kung’atwa au kukwaruzwa na mnyama mwenye maambukizi huokoa maisha.

Pangusa: Visababishi, Dalili, Matibabu na Namna ya Kujikinga

Pangusa: Visababishi, Dalili, Matibabu na Namna ya Kujikinga

Pangusa ni ugonjwa wa zinaa unaosababisha vidonda laini vinavyouma kwenye sehemu za siri pamoja na uvimbe wa tezi limfu kwenye kinena. Husababishwa na Haemophilus ducreyi na hutibika kwa dawa za antibayotiki.

Uvimbe wa Batholini: Sababu, Dalili, Matibabu na Namna ya Kujikinga

Uvimbe wa Batholini: Sababu, Dalili, Matibabu na Namna ya Kujikinga

Uvimbe wa Batholini ni hali inayotokea kutokana na kuziba kwa tezi karibu na mlango wa uke, na unaweza kuwa na maumivu au bila. Ingawa si hatari kwa maisha, huhitaji usafi na tiba sahihi ili kupona na kuepuka maambukizi.

bottom of page