top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Madhara ya gono

Madhara ya gono

Gono isipotibiwa kwa wakati inaweza kupelekea maumivu sugu chini ya kitovu, makovu kwenye njia ya mkojo na via vya uzazi na hatimaye utasa.

Gono

Gono

Gono ni moja ya ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na bakteria Neisseria gonorrhoeae. Ugonjwa huu usipotibiwa kwa wakati huweza kusababisha utasa kwa wanaume na wanawake.

Gonorea

Gonorea

Gonorea ni moja ya ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na bakteria anayeitwa Neisseria gonorrhoeae. Kimelea huyu mara nyingi huathiri mrija wa mkojo wenye jina la urethra pamoja na shingo ya kizazi kwa wanawake.

Herpes sehemu za siri

Herpes sehemu za siri

Ni moja ya ugonjwa wa zinaa unaotokea sana na husababishwa na maambukizi ya kirusi Herpes aina ya pili (HSV2). Kuna dawa za kutuliza dalili na ukali wa ugonjwa na mpaka sasa hakuna tiba ya kutokomeza ugonjwa.

bottom of page