top of page

Kungu


Kungu ni tunda linalopatikana sana barani afrika,kuna aina tofauti za kungu, aina hizi hutokana na asili ya mmea unaotoa tunda hilo na sehemu mmea huo ulipo. Karanga ya tunda la Kungu imekuwa ikifanyiwa tafiti nyingi sana na hii ni kutokana na faida zake nyingi katika mwili wa binadamu. Tunda hili kwa kuwa lina vitamin na virutubisho vyenye mchango mkubwa ndani ya mwili wa binadamu limekuwa likitumika kama dawa kwa ajili ya hali na magonjwa mbalimbali

Karanga ya Kungu huwa na virutubisho vifuatavyo ndani yake

  1. protini

  2. vitamin E

  3. nyuzinyuzi

  4. mafuta mazuri

  5. madini kalisi

  6. madini ya magnesium

Baadhi ya faida za karanga hii ni kama

  1. Kupambana na maradhi ya kisukari

  2. Kupunguza lehemu mbaya mwilini

  3. Kuongeza utumiaji wa sukari mwilini

  4. Kukinga na kutibu magonjwa ya mishipa ya damu na moyo

  5. Kupunguza uzito uliopita kiasi Kuendelea kusoma zaidi kuhusu makala hii ingia katika kurasa zetu za ndani kwakubonyeza hapa


Comments


bottom of page