top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Rangi ya ute ukeni na maana yake kiafya

Rangi ya ute ukeni na maana yake kiafya

Majimaji (ute) ya kawaida yanayotoka ukeni huzalishwa na tezi ndogo zinapatikana kwenye tundu la uke na shingo ya kizazi. Majimaji au ute huu hutoka kila siku ili kuondoa chembe zilizokufa na uchafu na kufanya uke uwe kwenye hali safi ya kiafya.

Vichomi vya tumbo

Vichomi vya tumbo

Vichomi vya tumbo katika Makala hii inamaanisha maumivu makali, yanayotokea ghafla na kudumu kwa sekunde chache kisha kupotea. Visababishi vya maumivu ya tumbo yanayodumu zaidi ya muda huu vimeandikwa kwenye makala nyingine ya ‘Maumivu ya tumbo’

Kichomi cha kifua

Kichomi cha kifua

Kichomi ni maumivu makali, ya ghafla na yanayotokea na kupotea ndani ya muda mfupi sana (hudumu kwa sekunde chache). Kichomi kinapotokea, humfanya mtu aache kufanya kile alichokuwa anafanya na huweza tokea muda wowote ikiwa umepumzika au unafanya shughuli zako.

Kukojoa kitandani kwa mtu mzima

Kukojoa kitandani kwa mtu mzima

Asilimia 1 hadi 2 ya watu wazima duniani hukojoa kitandani, tatizo hii huambatana na hofu na woga wa kupata msaada. Kama utakojoa kitandani mara moja au mbili kwa mwaka ni hali ya kawaida inayoweza tokea kwa bahati mbaya. Kama tatizo ni sugu, usishindwe na hofu au aibu, zungumza na daktari upate ushauri na tiba.

Kutounga na kuunga vibaya kwa mifupa

Kutounga na kuunga vibaya kwa mifupa

Kutounga au kuunga vibaya kwa mifupa ni tatizo linalotokea sana duniani na huambatana na dalili mbalimbali. Makala hii imeelezea visababishi, vihatarishi, sehemu za mwili tatizo linapotokea sana na namna ya kujikinga na tatizo hili.

bottom of page