top of page

Elimu ya magonjwa kwa mjamzito

Sehemu hii utajifunza maelezo ya ziada kuhusu matatizo mbalimbali ya kiafya wakati wa ujauzito. Unashauriwa siku zote kuwasilaina na daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile iliyoandikwa humu ili kupata ushauri unaoendana na hali yako ya kiafya.

Dalili za mimba ya miezi minne

Dalili za mimba ya miezi minne

Katika mwezi wa nne wa ujauzito dalili za kichefuchefu, kutapika hupungua au kuisha, na tumbo la mimba huanza kuonekana.

Dalili za Mimba ya Miezi Mitatu

Dalili za Mimba ya Miezi Mitatu

Dalili za mimba ya miezi mitatu huwa na mchanganyiko wa dalili za miezi iliyopita na dalili mpya.

Jinsi ya kutunza kidonda cha upasuaji wa kujifungua nyumbani

Jinsi ya kutunza kidonda cha upasuaji wa kujifungua nyumbani

Ili kupona haraka baada ya upasuaji wa kujifungua mama anapaswa kufahamu mbinu za kutunza kidonda akiwa nyumbani

Dalili za wiki ya mwisho ya kujifungua

Dalili za wiki ya mwisho ya kujifungua

Wiki ya mwisho ya ujauzito huonesha dalili kama kushuka kwa mtoto, mikazo ya tumbo, na kuvunjika kwa chupa ya uzazi. Mama anapaswa kumwona daktari haraka ikiwa ana maumivu makali, kutokwa na damu nyingi, au kupungua kwa harakati za mtoto

Siku za kupata mimba

Siku za kupata mimba

Ni siku ambapo uovuleshaji hutokea, kwa kawaida huwa siku ya 14 kabla ya kuona mzunguko wa hedhi unaofuata.

bottom of page