top of page
Elimu ya magonjwa kwa mjamzito
Sehemu hii utajifunza maelezo ya ziada kuhusu matatizo mbalimbali ya kiafya wakati wa ujauzito. Unashauriwa siku zote kuwasilaina na daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile iliyoandikwa humu ili kupata ushauri unaoendana na hali yako ya kiafya.

Namna sahihi ya kusukuma mtoto
Kuvuta pumzi kwa kina ni jambo la kwanza linachotakiwa ili kusaidia juhudi za kusukuma mtoto. Kwenye hatua ya pili ya leba (uchungu) utatakiwa kusukuma mtoto ili aweze kutoka kirahisi, kumbuka ili kupata nguvu zenye ufanisi, unatakiwa kuvuta pumzi kwa kina kiasi na si kwa kina sana.
bottom of page




