top of page

Elimu ya magonjwa kwa mjamzito

Sehemu hii utajifunza maelezo ya ziada kuhusu matatizo mbalimbali ya kiafya wakati wa ujauzito. Unashauriwa siku zote kuwasilaina na daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile iliyoandikwa humu ili kupata ushauri unaoendana na hali yako ya kiafya.

Pozi sahihi la kukaa kwa mjamzito

Pozi sahihi la kukaa kwa mjamzito

Ukiwa umekaa kwenye kiti hakikisha mgongo unagusa kiti na umekaa karibu na meza ,usiache nafasi kati ya mgongo na kiti na pia kuwe na nafasi ndogo kati ya tumbo na meza kama inavyoonekana kwenye picha

Namna ya kufanya Mazoezi hatua kwa hatua- sehemu ya 5

Namna ya kufanya Mazoezi hatua kwa hatua- sehemu ya 5

Mazoezi haya yafanye kwa muda wa dakika 3 huku ukihesabu namba 1,2,3 kabla ya kuhama pozi moja kwenda jingine. Unapotaka kubadili pozi moja kwenda jingine hakikisha unapumua kwa kina kisha kuendelea kupumua kawaida.

Pozi sahihi la kukaa wakati wa ujauzito

Pozi sahihi la kukaa wakati wa ujauzito

Moja ya kitu muhimu katika afya ya ujauzito ni kukaa pozi sahihi. Kukaa pozi sahihi husaidia kupunguza maumivu ya shingo na nyuma ya mgongo na kuondoa uchovu wa kupitiliza. Hata hivyo wakati wa ujauzito mabadiliko ya kifiziolojia mwilini hutokea na huchangia mwili wa mama usikae katika mpangilio mzuri.

Namna ya kufanya Mazoezi hatua kwa hatua- sehemu ya 6

Namna ya kufanya Mazoezi hatua kwa hatua- sehemu ya 6

Mazoezi haya yafanye kwa muda wa dakika 3 huku ukihesabu namba 1,2,3 kabla ya kuhama pozi moja kwenda jingine. Unapotaka kubadili pozi moja kwenda jingine hakikisha unapumua kwa kina kisha kuendelea kupumua kawaida.

Mapozi ya kukaa wakati wa uchungu na kujifungua

Mapozi ya kukaa wakati wa uchungu na kujifungua

Katika kipindi uchungu unaanza hadi kipindi unajifungua, masaa kadhaa yatapita. Kwa mama ambaye anaujauzito wa kwanza inaweza kuchukua muda wa masaa 11 toka uchungu umeanza mpaka kujifungua endapo uzazi ni wa kawaida.

bottom of page