Kurasa hii imeorodhesha homon mbalimbali zinazopatikana kwenye mwili wa binadamu
Melatonin
Homoni ya melatonin hufahamika kwa jina jingine la N-acetyl-5-methoxytryptamine huwa na rangi ya blue na hutengenezwa kutoka kwenye amino asidi zinazoitwa tryptophan. Homoni hii hufahamika kama homoni ya usingizi
Estradiol (E2) ni homoni kuu ya estrogen yenye jukumu muhimu katika uzazi, mifupa na mzunguko wa hedhi kwa mwanamke. Upungufu wake huleta dalili za komahedhi, huku kuzidi kwake kukihusishwa na matatizo ya uzazi na magonjwa yanayotegemea estrogen.
Somatostatini ni homoni inayozalishwa karibia katika kila ogani ndani ya mwili, hata hivyo seli nyingi zinazozalisha homoni hii hupatikana kwenye mfumo wa gastrointestino na mfumo wa neva.