top of page

Kamusi Tiba ya ULY CLINIC

uhanithi

Uhanithi

Humaanisha kukosa uwezo wa kusimamisha uume au kupotea uwezo wa uume kuendelea kusimama kwa ajili ya kujamiana mara maada ya kusimama.

Ujauzito

Ujauzito

Ujauzito ni nini?

Ujauzito wa zabibu

Ujauzitozabibu

Ni uviumbe usio saratani, hutokea endapo wakati wa uumbaji uengenezaji wa seti za jeni za baba kwenye yai lililochavushwa zimekuwa nyingi kuliko kawaida, matokeo yake ni kutengeneza vijifuko vya mviringo vyenye mwonekano wa zabibu.

Uke ni nini?

Uke

Ni tundu au mfereji uliojengwa kwa misuli, unaounganisha sehemu ya nje ya mfumo wa uzazi wa mwanamke na mlango wa kizazi(shingo ya kizazi. Uke huwa sehemu ya njia ya uzazi na pia ni njia ambayo damu ya hedhi hupitia kutoka kwenye kizazi kwenda nje ya mwili.

Ulcerative colitis

Ulcerative colitis ni nini?

bottom of page