top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Sunzua

Sunzua

Sunzua ni aina ya uoto utokeao kwenye ngozi laini na ngumu na husababishwa na anuai mbalimbali za kirusi human papillomavirus (HPV).

Mgongo wazi

Mgongo wazi

Uti wa mgongo ulio wazi au mgongo wazi kwa jina jingine hufahamika kama Spinal bifida ni hali ya mtoto kuzaliwa na uti wa mgongo ulio wazi kutokana na madhaifu ya kutokufunga vizuri kwa mifupa ya uti wa mgongo.

Sindromu ya kuingia hedhi

Sindromu ya kuingia hedhi

Zaidi ya asilimia 75 ya wanawake waliovunja ungo hupata dalili na ishara za kuingia hedhi kama vile kukasirika kirahisi, kuvimba na msongo wa mawazo. Kama una dalili kali au zinazodumu, wasiliana a daktari kwa ushauri.

Mawe kwenye figo

Mawe kwenye figo

Kuwa na mkojo kidogo wenye kiasi kikubwa cha calcium, oxalate na uric acid, matumizi ya dawa aina fulani na kula kemikali ya melamine kutoka kwenye sahani za mifupa, hutengeneza mawe ndani ya figo.

bottom of page