top of page

Magonjwa na saratani mbalimbali

Sehemu hii utasoma kuhusu hali na magonjwa mbalimbali

Phecomelia

Phecomelia

Ulemavu unaotokana na kutofanyika kikamilifu au kukosekana kabisa kwa miguu na mikono kunakochangiwa sana na matumizi ya dawa ya ukoma yenye jina la thalidomide wakati wa ujauzito.

Kirusi cha corona

Kirusi cha corona

​Virusi vya corona ni familia kubwa ya virusi inayosababisha binadamu kuugua, mtu anaweza kupata dalili kali na kutokwa mafua au kuwa na dalili kali na za ghafla zaidi kwenye mfumo wa upumuaji.

Wasiwasi uliopitiliza

Wasiwasi uliopitiliza

Wasiwasi kwa watu wengi huja na kuondoka, kama wasiwasi unadumu, hupunguza thamani ya maisha ya mtu na hivyo huishi bila kujiamini na kushindwa kushiriki vema kwenye kazi.

Uteja wa dawa za kulevya

Uteja wa dawa za kulevya

Uteja ni hali ya mwili kutegemea dawa zisizoruhusiwa au yale yanayoruhusiwa kisheria ambayo huleta hali ya kuufurahisha mwili lakinimwisho wake hupelekea mwili kushindwa kuishi pasipo matumizi ya dawa hizo.

bottom of page