top of page
Vidokezo vya Afya

Kulia machozi huondoa homoni zinazoleta msongo mwilini
Tafiti mbalimbali zinaoyesha kuwa, mtu akilia machozi kutokana na msongo mwilini, machozi yanayotoka hutoa sumu na homoni mbalimbali zinazosababisha msongo mwilini. Homoni za msongo zinapoachiliwa kwenye machozi baada ya kulia husababisha mfumo unaohusika kutuliza mwili ufanye kazi vema na hivyo husababisha kupata tumaini, kufikiria vema na wakati mwingine kupata usingizi mzuri.

Kunyonyesha huku umekunja nne huweza kukufikasha kileleni
Inafahamika kisayansi kuwa, baadhi ya wanawake wanaonyonyesha , mtoto anaponyonya chuchu huamsha hisia kali za kingono zinazoweza kupelekea mama kufika kileleni wakati wa kunyonyesha huku amekunja nne. Hii ni kawaida kifiziolojia, mama anashauriwa kuacha kukunja nne wakati wa kunyonyesha endapo kupatwa na hisia hii inamfanya ajihukumu.
bottom of page



