top of page

Vidokezo vya Afya

Magonjwa ya utotoni

Magonjwa ya utotoni

Watoto wachanga wane (4) hadi watano (5) kati ya 1000 hushambuliwa na magonjwa ya utotoni, muwahishe mwanao hospitali pindi apatapo dalili za kuumwa.

Magonjwa yanaoathiri uke, humwathiri kichanga

Magonjwa yanaoathiri uke, humwathiri kichanga

Magonjwa yanayoathiri uke huweza kushambulia chupa ya uzazi na kupelekea mimba kutoka au kumpata kichanga wakati wa kujifungua. Tambua na pata tiba mapema ili kuukinga ujauzito wako na kichanga

Magonjwa yanayoshambulia kuta za mji wa mimba

Magonjwa yanayoshambulia kuta za mji wa mimba

Mtoto mchanga 1 kati ya 10 hushambuliwa na magonjwa kutokana na magonjwa yanayoshambulia kuta za mji wa mimba. Wahi tiba mkinge mwanao.

Mahudhurio mabovu ya kliniki

Mahudhurio mabovu ya kliniki

Mahudhurio mabovu ya kliniki wakati wa ujauzito huhatarisha afya ya mama na mtoto aliye tumboni. Hudhuria kliniki kwa afya bora ya mama na mtoto

Mahudhurio mabovu ya kliniki

Mahudhurio mabovu ya kliniki

Mahudhurio mabovu ya kliniki wakati wa ujauzito huhatarisha afya ya mama na mtoto aliye tumboni. Hudhuria kliniki kwa afya bora ya mama na mtoto.

bottom of page