top of page
Vidokezo vya Afya

Upungufu wa nguvu za kiume: Mwongozo kwa mgonjwa
Upungufu wa nguvu za kiume hutokea kwa mwanaume mmoja kati ya watatu. Tatizo hili halimaanishi kuwahi kufika kileleni tu kama wengi wanavyodhani, bali hujumuisha tatizo la ugumba kwa wanaume. Visababishi vingi hutibiwa kwa dawa, ushauri, mbinu mpya za kufanya ngono na tiba saikolojia.

Usifanye ‘dieting’ kupunguza uzito, uepuke ongezeko la uzito mara mbili zaidi ya uliopoteza
Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa, asilimia 80 hadi 90 ya watu wanaofanya ‘dieting’, baada ya kupungua na kufikia malengo ya uzito wanaoutaka na kuacha, miili yao hupata ongezeka la uzito mara mbili ya ule ulioupotea kwa kufanya ‘dieting’. Kula vema kila siku kama mbadala wa kufanya ‘dieting’
bottom of page



