top of page

Afya ya Mtoto

Mlo bora kwa mtoto wa miezi 6: Mwanzo wa lishe ya nyongeza

Mlo bora kwa mtoto wa miezi 6: Mwanzo wa lishe ya nyongeza

Mtoto wa miezi 6 anapaswa kuanza kula vyakula vya nyongeza vilainishwe vizuri kama uji wa nafaka, matunda au mboga zilizopondwa sambamba na kuendelea kunyonya maziwa ya mama. Wazazi wape chakula kidogo kwa kuanza mara moja hadi mbili kwa siku, wakiongeza polepole kadri mtoto anavyozoea.

Mlo kamili kwa mtoto wa Miezi 7 kwa ukuaji wa kawaida

Mlo kamili kwa mtoto wa Miezi 7 kwa ukuaji wa kawaida

Mtoto wa miezi 7 anahitaji kuanza kula chakula cha nyongeza pamoja na maziwa ya mama kwa ajili ya ukuaji wa mwili na ubongo. Makala hii inaeleza aina ya vyakula vinavyofaa na ratiba ya wiki kwa kutumia vyakula rahisi vinavyopatikana Tanzania.

Mlo kamili kwa mtoto wa Miezi 9 kwa ukuaji wa kawaida

Mtoto wa miezi 9 anahitaji mlo kamili wenye virutubisho muhimu kwa ukuaji wa mwili, ubongo na kinga. Makala hii inaeleza ratiba ya mlo wa wiki kwa kutumia vyakula rahisi vinavyopatikana Afrika ili kusaidia maendeleo bora ya mtoto.

utapiamlo

Utapiamlo

Utapiamlo ni hali ya kupungua au kuzidi kwa virutubishi mwilini inayosababishwa na lishe duni au lishe iliyozidi mahitaji ya mwili. Utapiamlo unaotokea sana Afrika hutokana na lishe duni.

Udumavu

Udumavu

Udumavu ni udhaifu wa ukuaji wa mwili na maendeleo ya ukuaji wa mtoto unaotokea kwa mtoto kutokana na lishe duni, kuugua mara kwa mara na kukosa msisimuo wa kisaikolojia na kijamii.

Pozi la kunyonyesha mtoto

Kama umejifungua mtoto kwa mara ya kwanza inachukua siku 3 hadi nne ili maziwa yaanze kutoka, lakini kama umejifungua zaidi ya mara moja basi huweza kuchukua siku chache zaidi.

bottom of page