top of page

Afya ya Mtoto

Udumavu

Udumavu

Udumavu ni udhaifu wa ukuaji wa mwili na maendeleo ya ukuaji wa mtoto unaotokea kwa mtoto kutokana na lishe duni, kuugua mara kwa mara na kukosa msisimuo wa kisaikolojia na kijamii.

Pozi la kunyonyesha mtoto

Pozi la kunyonyesha mtoto

Kama umejifungua mtoto kwa mara ya kwanza inachukua siku 3 hadi nne ili maziwa yaanze kutoka, lakini kama umejifungua zaidi ya mara moja basi huweza kuchukua siku chache zaidi.

mtoto na chakula

Mtoto na chakula

Mbinu mbalimbali zinaweza tumiwa na wazazi ili kumfanya mtoto apende kula kama vile kuheshimu hamu yake ya kula, kumpa chakula kidogo na kumuhusisha kwenye uandalizi wa chakula.

Ukuaji wa mtoto mwezi 1 hadi 11

Ukuaji wa Mtoto wa mwezi 1 hadi 9

Mtoto mwenye miezi 11 anaweza kutamka neno moja hadi manane tofauti na “dada/mama”, pia anaweza kuiga, kuja aitwapo na kukubali kuvalishwa nguo

Ukuaji wa mtoto wa miaka 3 hadi 5

Ukuaji wa Mtoto wa miaka 3 hadi 5

Hujitegemea zaidi na huanza kufahamu zaidi kuhusu ndugu na watoto walio nje ya familia. Huwa na muda mwingi wa kuuliza maswali na kutaka fahamu zaidi kuhusu vitu vinavyo mzunguka.

Ukuaji wa mtoto wa miaka 2 hadi 3

Ukuaji wa Mtoto wa miaka 2 hadi 3

Kipindi hiki mtoto huwa na shauku ya kuwa huru, huwa na fikra kubwa, hupata mabadiliko ya kijamii kihisia na kitabia na huweza kushika maagizo mawili hadi matatu.

bottom of page