top of page
Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali
Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Msinyao wa urethra
Msinyao wa urethra kitiba hufahamika kama ‘urethral stricture’ ni ugonjwa unaosababishwa na makovu au uvimbe katika kuta za mrija wa mkojo wenye jina la urethra. Kusinyaa huko husababisha mrija kuwa mwembamba hivyo kuleta dalili mbalimbali kama vile mkojo kushindwa kutoka, kutumia nguvu wakati wa kukojoa, kukojoa mara kwa mara, hisia za kutokojo mkojo wote na dalili zingine.
bottom of page




