top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Usingizi usioisha

Usingizi usioisha

Usingizi usioisha ni hali inayotokea kwa nadra, na hukusababishia upate usingine mara nyingi zaidi baada ya kupambazuka hata kama ulipata muda mrefu wa kulala wakati wa usiku

Mwili kuchoka

Mwili kuchoka

Uchovu wa mwili hufahamika kitiba kama body malaise, uchovu mkali wa mwili hufahamika kama fatigue. Maneno haya mawili hutumika kumaanisha vitu viwili tofauti, hata watu wengi wamekuwa wakitumia maneno haya kwa kubadilishana.

Kupungua uzito bila sababu

Kupungua uzito bila sababu

Kupungua uzito bila sababu ni hali inayoweza kusababishwa na hali au magonjwa mbalimbali, yakiwa ni magonjwa ya kisaikolojia au maambukizi au saratani ndani ya mwili. Mara nyingi kupungua uzito bila sababu hutokea katika kipindi kirefu haswa zadi ya wiki au miezi kadhaa, hali hii huweza ongeza hatari ya kupata madhara makubwa au kifo.

Vidonda kwenye uume

Vidonda kwenye uume

Kidonda/Vidonda kwenye uume huweza kusababishwa na sababu mbalimbali, unapopatwa na vipele kwenye uume usione kuwa upo mwenyewe, wasiliana na daktari kwani kuna tiba inapatikana.

Uume kutoa usaha

Uume kutoa usaha

Kutoa usaha kwenye uume mara nyingi ni dalili ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama kisonono au klamidia. Tatizo hili linahitaji uchunguzi na matibabu ya daktari mapema ili kuepuka madhara makubwa kama utasa.

bottom of page