top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Kushuka kwa kinga  mwilini

Kushuka kwa kinga mwilini

Kushuka kwa kinga za mwili ni hali inayotokea pale endapo ya mwili ipo chini ya kiwango ambacho kinafahamika kuwa kawaida kwa binadamu.

Funza kwenye ngozi

Funza kwenye ngozi

Myiasis ni tatizo linalotokea endapo ngozi imevamiwa na funza wa nzi. kuna wa aina tofauti tofauti za funza wa nzi wanaoweza kuvamia ngozi, hata hivyo funza wa nzi ambao wanavamia mara nyingi ngozi ya binadamu huitwa Dermatobia hominis (botfly wa binadamu) na Cordylobia anthropophaga (tumbu fly)

Kuharisha kinyesi cheusi

Kuharisha kinyesi cheusi

Kuharisha hutokea endapo kinyesi hakichatengenezwa vema ndani ya utumbo, hii hutokea kama maji hayajafyonzwa kwa kiwango cha kutosha katika mfumo wa utumbo mpana na hivyo kusababisha kutoa kinyesi kilaini zaidi kwa jina la uharo. Sababu mbalimbali zinaweza kupelekea kuharisha (zisome katika makala ya kuharisha). Katika makala hii utajifunza sababu za kuharisha kinyesi chenye rangi nyeusi.

Jino kuwa na rangi nyeusi

Jino kuwa na rangi nyeusi

Jino moja au meno kuwa na rangi nyeusi haswa meno ya nyuma ni tatizo linalofahamika sana na husababishwa na sababu mbalimbali zinazofahamika kitiba.

Mipasuko/vidonda njia ya haja kubwa

Mipasuko/vidonda njia ya haja kubwa

Vidonda njia ya haja kubwa au mipasuko kwenye njia ya haja kubwa katika makala hii imetumika kumaanisha tatizo linalofahamika kitiba kama anal fissure.

bottom of page