top of page

Vidokezo vya Afya

Matibabu kamili ya gono

Matibabu kamili ya gono

Mwongozo wa Tanzania na nchi zingine huhusisha matibabu ya magonjwa kadhaa yanayosababisha kutokwa usaha sehemu za siri, vipimo zaidi vya kutambua kisababishi na dawa yake hufanyika kama mgonjwa hatopona kwa dozi ya awali.

Matibabu ya dalili Kiasi za UVIKO-19

Matibabu ya dalili Kiasi za UVIKO-19

Homa, kikohozi kikavu, koo chungu na maumivu ya misuli ni miongoni mwa dalili kiasi za UVIKO-19 zinazoweza kutibiwa kwa kumeza Panado na Azithromycin kwa siku tano na Aspirin+ vitamin C + vitamin D + Zinc kwa muda wa siku 14. Usitumie dawa hizi pasipo ushauri wa daktari wako ili kuepuka madhara.

Matiti makubwa kwa kichanga

Matiti makubwa kwa kichanga

Asilimia 70 ya watoto wanaozaliwa na matiti makubwa husabaishwa na kiwango kikubwa cha homon estrogen kutoka kwa mama wakati wa ujauzito. Chunga kile unachokula au kunywa kwa kuwa baadhi ya vyakula huchangia ongezeko la estrogen.

Matumizi sahihi ya dawa

Matumizi sahihi ya dawa

Matumizi sahihi ya dawa hujumuisha mgonjwa kupokea dawa sahihi kulingana na mahitaji yake ya kiafya, katika dozi sahihi, muda sahihi wa matibabu na kwa bei anayoweza kumudu. Epuka madhara na gharama kwa kuzingatia matumizi sahihi ya dawa.

Matumizi ya dawa yasiyo sahihi

Matumizi ya dawa yasiyo sahihi

Ili tiba ifanikiwe, itawezekana pale tu mtoa dawa atakapotoa maelezo ya matumizi sahihi ya dawa na mtumiaji akafuata maelekezo hayo. Epuka matumizi yasiyo sahihi ya dawa kuzuia madhara.

bottom of page