top of page
Vidokezo vya Afya

Matibabu ya dalili Kiasi za UVIKO-19
Homa, kikohozi kikavu, koo chungu na maumivu ya misuli ni miongoni mwa dalili kiasi za UVIKO-19 zinazoweza kutibiwa kwa kumeza Panado na Azithromycin kwa siku tano na Aspirin+ vitamin C + vitamin D + Zinc kwa muda wa siku 14. Usitumie dawa hizi pasipo ushauri wa daktari wako ili kuepuka madhara.
bottom of page




